OFFICIAL FIRST EPISODE - Huba Season 3 | Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 17 окт 2024
- Waigizaji uwapendao, changamoto bila kifani, Nyuso mpya katika shamra shamra za biashara ya Fuli GemStones na mengi mengine katika msimu wa tatu wa #HUBATZ!
Endelea kutizama DStv chaneli 160
---
Official Website: maishamagicbon...
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo
Ndo kwanza niko episode ya kwanza nishatoa maks zangu kaliii hiv ndo tunataka watanzania...mbona mmenikamata....hahaaa mie wakolea tupatena now niko home...safiiiiiiiiii
Batuli ume nenepa.. MashaAllah.. kweli...akuna mtu mwembamba❤️❤️❤️❤️
Watching from Kenya nairobi
Mimi napenda sana muve za tz
Huba iko poa I love u so much tima and devi mwaaaaaaah
Waigizaji mahiri,, mmetisha Sana, kwa Mara ya kwanza naridhika na maigizo ya TZ
Jamani mbona kali hiyo
Ise
Jamani plz plz mtuwe na sisi RUclips, hi from Danmark
Jamani muwe mnaweka yote,😁 hatuna dstv
😂😂😂😂😂😂😂
Nampenda sana tesa anavyo igiza
Wow nice mko juu sana mwendelezo
its so nice
Nimeipend San lkn Muendelezo jaman ❤❤❤❤
Ni sawa kabisa
Tz mko sawa,mnanipunga sana tu
hongeren,, love you Tanzania
Hat❤
How may I get all the episodes? Pls anyone help.
Bongo movie now inapamba moto naipenda Tanzania yangu
Nice move💖💖
Good filam
Very nice, Grace umenivunja mbavu
Mama uyu nimubaya sna uache moyo uchague
Nzuri tu
Safiiii
Nice movie
2023 and am still watching ❤
2024 am still watching
Napenda Sana uba but sijui imefikia wapi
Asante
Jaman tesa
Naipenda huba mpaka names
jaman kibibi na tima nawapenda bureeee 😂😘😍😍
Kapuni
Zba
muondelezo jamani move nzur sana
Baadae❤❤❤❤❤
nimewapenda wote mmefanya vyema hongereni
Fortunate Mathias Barabara tima
Naomba party 2
Sijawahi kua mtazamaji au mfatiliji wa tamthilia hata siku moja ktk maisha yg ila hii naona ina shawishi kuangalia wamejitaidi mwelekeo mzuri
Mwendelezo
Ngoj kwanza niaca utani niangalie comment
Tesaaa unanifurahisha
ukiniangalia nafanana na mama yako😂😂😂😂😂tesa umeniweza kwa hii huba
l love u kibibi...
Love you kibibi penda sana my
Kibibi upo vzr
Jamani tuwekeyeni episode zote inapendeza sana
Shukran sanaaaa yani sana ila naomba mtuekee na mpangilio kuanzia Episode ya kwanza mpaka kuendelea plz.
Kazi mnzuri
Nice move🤱
nzuri sana riyama ananikosha hatali
Ety ufe akuzikeeee mmmmmh jman
Kazi.mnzui jamani
❤️❤️❤️
Kubali sana riyama aisee
Weekend kwenye mpangilio
Tamu
Eti gogo hilo ahaaa
nice
Huba iko poa saan🔥🔥
Maisha magic hawamalizi movie wanatuonjesha basi kama sarafu sawa na kututia nyege halafu hawajatuto........£#£#£##
kukufanyaje?
Nitumie namba zako please
Nirushie namba yako jamani please
Naomba namba yako
Ahaaaa eti kuna ubaya ukimuibia mwizi ahaaaa cheko sana
Jamani muendelezo
Huba ni nzr sana iwekeni yote
Riyamanampendasaaaan
Acheni ubabaishaji hatujawalazimisha muweke nivihelehele vyenu ndo vimewafanya muweke mmeniboa wekeni kwenye mpangilio unao eleweka kama ni 1 -2-3-4-5 nakuendelea zieleweke na ziwe full lasivyo🏃🏃
Nampenda sana dorice joomon
Iko juuu sana uba
Nampend tim me jamn i wish tuonan
Nawapenda wootee, kibibi na tima mnazd kunpa raha bila kumxahau riyama
Kibibi nampenda bure
Liliani Lilianililiani34 niunge
Locationist hongera yako
Recess princess
namupend tim san😘
Kwnn hampost episodes zote kwa mpangilio? Sio wote wenye ving'amuzi vya dstv!
Mika Peter ni kweli
Kweliii kabisa
Ume nena wana ni kera
Wanakera sna
Mbona azipo katika mpangilio
Smart
Bona hatuoni tena video za huba njamani
Jamani nataka kuigiza nanyi
Uba magic bongo
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Nzuri sana...,ingekuwa na English subtitles ingekuwa poa zaidi..
5 8 2021
Mmejitahidi mkovizur
Hasante sana kwa move nzuri mungu hawabari kwa kazi zenu part 2 please
riyamaaa we kibokoo
Imebidi niifuatilie kuanzia mwanzo naeza pata wap yote jamani 😂😂😂😂
Nzri sana jmn hadi rahaa
Kumbe Tesa alimuua mme wake du ! Hii kali
Mimi ndo naanza sasa
Hahah Ert unaitafuta laaan jaman Riayama ert sishidwi kukurudisha matumbon
🤣🤣🤣
Ndio
Chanel gani inaoneshwa hii
Siihelewi iyi movie ina majina mengi episode nyingi zisiyo kwicha
sustain kwani unaielew
👌
Ajaab tuekeeni episode zoteee jamani
0746658833
asalam aleykum huu mchezo huba unaletwa siku gani hasa safi sanna
jamani mbona mimi nahitaj kutezama hiyi film ila nikitak kuyi dawling sizipati.munaùnie jisi yakuzipata kuwanzia k episode y 1
mko vinzur sana tunaomba muendelezo
Wekeni episode zote youtube baada ya kuoneshwa kwenye tv
Hahahahaha jaman ninzur sana tueken yote inafuraisha
Leteni program zenu zote full!!!!!!!!!
Eti ukiniangalia nafanana na mama hahaha!
😘😘😘
Embu na Tema mumeniuwa
Tesa anabalaa
Yan tesa anaumwa alafu analeta mashauzi shid nae kujibu anaogopa makofi
Huba huba hubaaaa